Skip to playerSkip to main contentSkip to footer
  • 3/6/2018
Rais Dk. John Magufuli ameruhusu waumini wa dini ya Kiislamu kuendelea na ujenzi wa msikiti wao, ambao awali ujenzi wake ulipigwa ulizuiwa kutokana na Kutopata kibali kutoka Wizara ya ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Category

People

Recommended